Bajeti yapita, mafao ya viongozi wote kukatwa kodi

Dkt Philip Mpango akijibu hoja mbalimbali za wabunge

Serikali ya Tanzania imepitisha bajeti ya shilingi trilion 29.5 kwa kupigiwa kura huku wabunge wa upinzani wakiwa wametoka nje wakiwa wameziba midomo yao kwa karatasi na plasta.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS