Marufuku viberiti na mishumaa mabwenini - majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitembelea Shule ya Sekondari Lindi baada ya shule hiyo kuteketea kwa moto hivi karibuni.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amepiga marufuku matumizi ya viberiti, mishumaa na heater za kuchemshia maji kwa wanafunzi wa bweni ili kuepusha majanga ya moto na atakayekutwa atachukuliwa hatua kali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS