Mazingira ya kisheria kwa wafanyabiashara yaja

Serikali ya Tanzania imeanza kutengezeza taratibu za mazingira ya kisheria kwa wafanyabiashara wazawa na wageni, sheria ambayo itasaidia sana katika kulinda maslahi yao na yawalaji ambao ni wanunuzi wa bidhaa zao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS