Halmashauri 'zakabwa koo' michango ya Nanenane

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla

Halmashauri za mikoa inayounda Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, zimetakiwa kukamilisha mchango wa shilingi milioni mbili kila moja kwaajili ya maandalizi ya maonesho ya wakulima ya Nanenane 2016 kabla ya Julai 19.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS