Serikali kujenga viwanda kumaliza tatizo la ajira WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itahakikisha viwanda vinajengwa kwa wingi nchini kwani ndiyo msingi imara wa ukuaji wa uchumi na muarobaini wa tatizo la ajira hususan kwa vijana. Read more about Serikali kujenga viwanda kumaliza tatizo la ajira