Kuna changamoto nyingi kulinda amani-Mabongo

Brigedia Jenerali Yohana Mabongo akisalimia na Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dkt. Reginald Mengi.

Majeshi ya Ulinzi wa Amani na Usalama yanayolinda nchi zinazokabiliwa na vita yakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo kushambuliwa na vikundi vidogo vya waasi vinavyomiliki silaha kwa ajili ya kufanya mashambulizi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS