Dereva wa City Boy kusomewa shitaka la mauaji

Kamanda wa kikosi cha usalama barabarani DCP Mohamed Mpinga

Kamanda wa Kikosi cha usalama barabarani DCP Mohamed Mpinga amesema kutokana na ajali za barabarani kuwa nyingi na madereva kuzidi kuwa wazembe sasa imebidi madereva waliosababisha ajali eneo la Maweni Singida kuomewa shitaka la mauaji bila kukusudia

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS