Wapinzani wa Yanga Medeama FC kuwasili kesho Wapinzani wa Yanga SC katika mchezo wa mwisho mzunguko wa kwanza Kundi A Kombe la Shirikisho Afrika kati ya wenyeji, Medeama FC ya Ghana wanatarajiwa kuwasili hapo kesho. Read more about Wapinzani wa Yanga Medeama FC kuwasili kesho