Waziri Mkuu awataka wakurugenzi kuepuka migogoro

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Mkutano ulioitishwa na
Rais John Magufuli kwa Wakurugenzi wa Halmashauri zote za wilaya na
baadhi ya Wakuu wa wilaya ikulu jijini Dar es salaam Julai 12, 2016.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wakurugenzi watendaji wateule 185 wa majiji, manispaa, miji na halmashauri za wilaya waende wakafanye kazi kwenye maeneo yao mapya waliyopangiwa kwa kuzingatia uadilifu, uwajibikaji na uaminifu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS