KHALILA
'Amezaliwa May 31, Arusha lakini amekulia Dar es salaam toka akiwa mchanga hadi sasa. Anasomea Shahada ya science of business administration huko University of the People iliyopo Marekani. Ni Mkufunzi wa dansi akiwa anamiliki kampuni ya kusaidia vijana katika swala zima la kucheza na sanaa.
