Waziri Mkuu akabidhiwa maabara ya kwenye sanduku

Mkuu ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya , Dkt. Mpoki Ulisubisya na kushoto kwake ni Mkurugezi Mtendaji wa kampuni hiyo, Amit Bhatnagar

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekabidhiwa maabara ya kitabibu inayoweza kubebwa kwenye sanduku (Mobile and Compact Portable Clinical Laboratory) ambayo ni rahisi kutumika mahali popote hata kwenye maeneo yasiyo na umeme.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS