Ubelgiji yamwaisha Zlatan kwa Mourinho Man United

Zlatan Ibrahimovic akiruka hewani kujaribu kufunga dhidi ya Ubelgiji.

Ni huzuni kwa Wasweden lakini pengine itakuwa ni furaha kwa mashabiki na kocha wa United Jose Mourinho kwa matokeo ya kipigo kwa timu ya taifa ya Sweden jana usiku kwani sasa watakuwa na hamu ya kuona mshambuliaji Ibrahimovic akitua Old Trafold

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS