Serikali yatakiwa kukabiliana na Changamoto MNH Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sikika, Irenei Kiria. Serikali imeshauriwa kufanya utafiti wa changamoto zinazoikabili Hospitali ya rufaa ya muhimbili kabla ya kuanza kutoa huduma ya Chakula Kwa Wagonjwa wote hospitalini hapo. Read more about Serikali yatakiwa kukabiliana na Changamoto MNH