Wakulima soko la Kimataifa Kibaigwa kupewa ahueni

Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Dkt. Charles Tizeba,

Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Dkt. Charles Tizeba, ameiagiza bodi ya Soko la Mahindi la Kimataifa la Kibaigwa, na Uongozi wa Halmshauri ya Kongwa kuweka utaratibu utakaowawezesha wakulima kuuza mazao yao bila kudhurumiwa kutoka kwa madalali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS