Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe Charles Mwijage
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe Charles Mwijage, amesema kuwa serikali imedhamiria kukomesha bidhaa bandia mpaka ifikapo julai mosi mwaka huu zoezi ambalo litafanywa na shirika la viwango nchini TBS.