Serikali kudhibiti uingiaji bidhaa bandia

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe Charles Mwijage

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe Charles Mwijage, amesema kuwa serikali imedhamiria kukomesha bidhaa bandia mpaka ifikapo julai mosi mwaka huu zoezi ambalo litafanywa na shirika la viwango nchini TBS.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS