Waziri Mkuu afungua duka la MSD wilayani Ruangwa

Waziri Mkuu akisalimiana na wazee wa Kijiji cha Chunyu wilayani Ruangwa mkoani Lindi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amefungua duka la Bohari Kuu ya Dawa (MSD) katika Hospitali ya wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi ambalo litakuwa na uwezo wa kuhudumia hospitali 524 katika mikoa ya Lindi, Mtwara na wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS