Magufuli awapandisha vyeo maafisa 59 wa Polisi

Rais Magufuli akisalimiana na baadhi ya makamanda wa polisi katika mkutano wa makamanda hao uliofanyika hivi karibuni mjini Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewapandisha vyeo maafisa 25 wa Jeshi la Polisi kutoka cheo cha Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) na kuwa Naibu Kamishna wa Polisi (DCP).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS