Fahamu maana ya 'PAROLE' na historia yake Tanzania

PAROLE ni utaratibu wa kisheria unaompa fursa mfungwa aliyehukumiwa kutumikia kifungo Gerezani cha miaka minne na kuendelea kutumikia sehemu ya kifungo chake katika jamii kwa masharti maalum baada ya kukidhi vigezo vifuatavyo:¬

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS