TWCC yasaidia vijana, wanawake kutokimbilia mijini

Mwenyekiti wa Chemba ya Wajasiriamali Wanawake nchini TWCC, Bi. Jaqueline Mneney Maleko akionyesha Tuzo waliyoipata katika siku ya ufunguzi wa Maonyesho ya 40 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam, yaliyofanyika katika viwanja vya Mwalimu Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

Kasi ya vijana kuhama kutoka maeneo ya vijijini kwenda mijini nchini imeanza kupungua kufuatia mafunzo ya ujasiriamali yanayotolewa na Chemba ya Wanawake Wajasiriamali TWCC juu ya mbinu za namna ya ufanyaji biashara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS