Serikali kushirikiana na madhehebu ya dini nchini Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa WAZIRI MKUU Kasim Majaliwa amesema Serikali itahakikisha inaunga mkono dini zote nchini na kuzipa ushirikiano wa kutosha ili ziweze kufanya kazi zake vizuri. Read more about Serikali kushirikiana na madhehebu ya dini nchini