Watu bilioni 3 kukosa maji ifikapo 2050 Mkazi akichota maji ya Mto ambayo yanaweza kuwa sio safi wala Salama Watu bilioni 3.9 duniani watakuwa na tatizo la Maji ifikapo mwaka 2050 na hivyo kusababisha uwezekano wa kusambaa kwa magonjwa yanayosabishwa na matumizi ya majitaka. Read more about Watu bilioni 3 kukosa maji ifikapo 2050