Watu bilioni 3 kukosa maji ifikapo 2050

Mkazi akichota maji ya Mto ambayo yanaweza kuwa sio safi wala Salama

Watu bilioni 3.9 duniani watakuwa na tatizo la Maji ifikapo mwaka 2050 na hivyo kusababisha uwezekano wa kusambaa kwa magonjwa yanayosabishwa na matumizi ya majitaka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS