Serikali kujenga vyoo bora zaidi ya 4000 mashuleni

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Hamis Kigwangalla.

Serikali ina mpango wa kujenga vyoo bora 3,500 kwa shule za msingi, 700 za sekondari pamoja na kufikia kaya milioni tano kwa miaka mitano ijayo ili kuweka mazingira safi kwa watoto wa kike pindi waingiapo hedhi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS