Serikali kujenga vyoo bora zaidi ya 4000 mashuleni
Serikali ina mpango wa kujenga vyoo bora 3,500 kwa shule za msingi, 700 za sekondari pamoja na kufikia kaya milioni tano kwa miaka mitano ijayo ili kuweka mazingira safi kwa watoto wa kike pindi waingiapo hedhi.