Yanga yazidi kuikaba koo Simba Ligi Kuu Bara

Amis Tambwe wa Yanga akiwakimbiza mabeki wa Ruvu Shooting

Mabingwa watetezi wa Ligi kuu ya Soka Tanzania Bara Yanga wamefanikiwa kuibuka na pointi tatu mbele ya Maafande Ruvu Shooting mara baada ya kuwachapa bao 2-1 Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS