Walioghushi vyeti kupata mikopo kutinga mahakamani

Prof. Joyce Ndalichako

Waziri wa Elimu Prof. Joyce Ndalichako amesema kuwa baada ya uhakiki wa vyeti vya vifo vilivyowasilishwa na wanafunzi wanaoomba mikopo wakidai kwamba ni yatima, watakaobainika kupeleka vyeti vilivyoghushiwa watafikishwa kwenye vyombo vya sheria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS