Mil. 150 zatengwa kwa vijana na akina mama Mufindi
Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mufindi, Prof. Riziki Shemdoe (wa kwanza Kulia) akijadiliana jambo na Mwenyekiti wa halmashauri hiyo Festo Mgina.
Halmashauri ya Wilaya ya Mufundi mkoani Iringa imetenga milioni 150 za mapato yake ya ndani ikiwa ni asilimia 10 ya mapato yake kwa ajili ya kuvipatia vikundi 89 vya halmashauri hiyo.