60% ya watoto wa maeneo ya chakula wana utapiamlo Mikoa yenye kiwango kikubwa cha uzalishaji wa chakula nchini ikiwemo Iringa na Kagera ndiyo inayoongoza kwa kiwango cha juu cha watoto wenye utapia mlo na udumavu katika umri wa chini ya miaka 5. Read more about 60% ya watoto wa maeneo ya chakula wana utapiamlo