Amis Tambwe wa Yanga akiwakimbiza mabeki wa Ruvu Shooting
Mabingwa watetezi wa Ligi kuu ya Soka Tanzania Bara Yanga wamefanikiwa kuibuka na pointi tatu mbele ya Maafande Ruvu Shooting mara baada ya kuwachapa bao 2-1 Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.