Wanafunzi 30,000 waepuka adha ya kukaa chini
Takribani wanafunzi 30,000 nchini Tanzania wameepuka adha ya kukaa chini baada ya taasisi ya Hassan Maajar kugawa madawati elfu tisa kwa shule za msingi na sekondari katika mikoa 13 nchini kupitia programu yake ya kuboresha mazingira ya elimu nchini.