Wanafunzi watatu wafa maji Ziwa Tanganyika, Kigoma Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kigoma Ferdinand Mtui. Wanafunzi watatu wawili wakiwa wa shule ya msingi na mmoja wa Sekondari wamekufa maji wakati wakiogelea maji katika Ziwa Tanganyika mkoani Kigoma. Read more about Wanafunzi watatu wafa maji Ziwa Tanganyika, Kigoma