Ndalichako apiga marufuku matumizi holela ya joho

Baadhi ya wahitimu wa elimu ya sekondari katika moja ya shule nchini wakiwa katika vazi aina ya joho

Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Prof. Joyce Ndalichako, amepiga marufuku matumizi ya vazi aina ya ‘Joho’ kwenye sherehe za mahafali ya ngazi za chini za elimu na kutaka litumike kuanzia ngazi ya Shahada ili kulipa heshima vazi hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS