Wachezaji wapya Azam FC kupimwa ubavu kwa Mtibwa

Nahodha wa Azam FC, John Bocco, akimiliki mpira mbele ya kiungo mkabaji, Stephane Kingue na beki Bruce Kangwa, wakati wa mazoezi ya timu hiyo

Katika kujiandaa na mechi za raundi ya pili ya Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL), Azam FC, inatarajia kukipima kikosi chake kwa kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Mtibwa Sugar utakaofanyika Uwanja wa Azam Complex, Jumamosi Desemba 10 saa 1.00 usiku.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS