Dhahabu haijawekwa kama hazina - Serikali

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji

Serikali imesema kuwa Benki kuu ya Tanzania (BOT), haijaweka madini ya dhahabu kama hazina ya rasimali za kigeni kutokana na bei ya madini hayo kutokua tulivu katika soko la dunia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS