Kilimo kutumika kukabili mabadiliko ya tabia nchi

Wakulima wadogo wakiwa mashambani.

Ripoti mpya ya shirika la mfuko wa maendeleo ya kilimo IFAD inaonesha kuwa kwa kila dola moja inayowekezwa katika mpango wa usaidizi wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi kwa wakulima wadogo ASAP, una manufaa makubwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS