DCI aliyetumbuliwa ateuliwa kuwa RAS Kagera Diwani Athumani, Aliyekuwa DCI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) Bw. Diwani Athuman kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera. Read more about DCI aliyetumbuliwa ateuliwa kuwa RAS Kagera