Taasisi za kifedha nchini zashindwa kuitumia DSE Kauthar D'souza - meneja kutoka The Guardian Taasisi za kifedha nchini bado hazijaonyesha mwamko wa kushiriki uwekezaji kwenye Soko la Hisa la Dar es Salaam, kwani mpaka sasa ni benki saba pekee ndizo zimejisajili katika soko hilo Read more about Taasisi za kifedha nchini zashindwa kuitumia DSE