Tommy ajibu kuhusu kuwafukuzisha Cheed na Killy

Kutokea upande wa kushoto ni Killy, Tommy Flavour na Cheed

Msanii wa Kings Music Records Tommy Flavour, amejibu tuhuma zinazodaiwa kwamba uwepo wake ndani ya lebo hiyo, umesababisha wasanii Killy na Cheed kuondoka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS