Zaka Zakazi aweka kauli sawa dhidi ya Simba

Mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa klabu ya Azam Fc Zacharia Thabiti (pichani)akiwa katika studio za East Africa Radio kujadili masuala mbalimbali ya michezo.

Mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa klabu ya Azam Fc(Pichani)amesema kiwango cha timu yao jana kilikua duni kiasi cha kuwakera mashabiki waliojitokeza uwanjani na hata walikua nyumbani,na walicheza kitoto katika mechi ya kikubwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS