Tommy ajibu kuhusu kuwafukuzisha Cheed na Killy Kutokea upande wa kushoto ni Killy, Tommy Flavour na Cheed Msanii wa Kings Music Records Tommy Flavour, amejibu tuhuma zinazodaiwa kwamba uwepo wake ndani ya lebo hiyo, umesababisha wasanii Killy na Cheed kuondoka. Read more about Tommy ajibu kuhusu kuwafukuzisha Cheed na Killy