Lissu kukanyaga tena ardhi ya Tanzania

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu.

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Tundu Lissu amesema kuwa wiki ijayo siku ya Julai 27, 2020, atakanyaga rasmi ardhi na udongo wa Tanzania akitokea nchini Ubelgiji alikokuwa akipatiwa matibabu baada ya kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana mwaka 2017.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS