"Muombeeni Mama yangu, hawezi hata kujigeuza" -JPM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amewaomba Watanzania kuendelea kumuombea Mama yake mzazi ambaye amelala kitandani kwa kipindi cha miaka miwili sasa bila kujigeuza wala kula kutokana na kusumbuliwa na ugonjwa wa Kiharusi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS