Paul Makonda akiwa anaongea na waandishi pamoja na wananchi wa kivule leo Julai 2, 2020.
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amekabidhi mradi wa hospitali ya Kivule kwa Chama cha Mapinduzi ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa miradi mbalimbali kupitia ilani ya chama hicho.