Simba na Yanga kuumana julai 12 Hekaheka uwanjani katika mmoja ya mchezo baina ya watani wa jadi Simba na Yanga(Pichani) TFF yatangaza nusu fainali ya Azam Sports Federation CUP kuchezwa Julai 11 na 12, jijini Tanga na Dar es salaam. Read more about Simba na Yanga kuumana julai 12