"Tumepewa $3500 kati ya $1 milioni" - msemaji ZFF
Msemaji wa Shirikisho la Soka la Zanzibar ZFF, Adam Natepe amesema kuwa wamefanya juhudi kubwa kuongea na Shirikisho la Soka Tanzania TFF juu ya haki zao za fedha za FIFA lakini wenzao wanaonesha kiburi.