Mawaziri wapishana ofisi za CCM

Mawaziri mbalimbali waliojitokeza hii leo kuchukua fomu katika maeneo yao, akiwemo Profesa Kabudi, Profesa Ndalichako, Angellah Kairuki na Dkt Philip Mpango.

Baada ya CCM kutangaza rasmi kuwa zoezi la uchukuaji wa fomu kwa wagombea wake wa nafasi za Ubunge,Udiwani na Uwakilishi kuanza leo Julai 14, 2020, hali katika ofisi za chama hicho katika maeneo mbalimbali nchini imechangamka kutokana na watia nia kujitokeza kwa wingi kuchukua fomu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS