"Ukimtoa Whozu, Lulu Diva ndiyo anafuata" - Marioo
Msanii Marioo upande wa kulia, kushoto ni Lulu Diva
Kupitia kipande cha video fupi aliyo-post msanii Marioo "Toto Bad" ameeleza kuwa ukimtoa Whozu staa mwingine ambaye anafuatia kwa kuumizwa na kuonewa kwenye mapenzi ni Lulu Diva.