Mashinji aambulia kura 2 Kawe, Gwajima aingia tatu
Askofu Gwajima akifuatilia mchakato wa kura za maoni mapema kabla ya matokeo kutangazwa
Zoezi la kura za maoni katika Jimbo la Kawe Dar es salaam ndani ya CCM, limemalizika na matokeo yametolewa ambapo Furaha Dominic Jacob ameongoza kwa kupata kura 101.