Spika Mstaafu awapongeza CHADEMA kwa hili

Spika Mstaafu wa Bunge la Tanzania, Pius Msekwa.

Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Pius Msekwa, amesema kuwa CHADEMA wako sahihi kuwafukuza wanachama wake ambao wameenda kinyume na taratibu zao kwa mujibu wa katiba ya chama hicho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS