Kocha wa Yanga anawa mikono kwa Morrison.

Kocha mkuu wa Yanga Lucy Eymael (pichani)akiwa katika majukumu yake ya moja ya mchezo wa VPL uwanjani.

kocha wa Yanga Lucy Eymael amesema hawezi kufanya kazi na mchezaji wa aina ya Benard Morrison kutokana na tabia zake za utovu wa nidhamu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS