Fahamu tarehe ya Simba kukabidhiwa ubingwa Wachezaji wa Simba SC Bodi ya Ligi nchini Tanzania TPBL imetangaza tarehe rasmi ambayo klabu ya Simba itakabidhiwa ubingwa wake wa ligi baada ya kutangazwa kuwa mabingwa wa msimu 2019/20. Read more about Fahamu tarehe ya Simba kukabidhiwa ubingwa