Neno la Ndugulile baada ya Mollel kuteuliwa

Dkt. Mollel ambaye ametuliwa kuwa Naibu Waziri Mpya wa Wizara ya Afya na aliyekuwa Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile.

Aliyekuwa Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile ameeleza kushukuru uamuzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli juu ya kumtengua na nafasi yake kuijaza Mbunge wa Siha,Godwin Mollel.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS