Ashikiliwa kwa kumuua mama yake na kunywa damu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Jonathan Shana Kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Daniel Emmanuel (32) anashikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kukutwa na damu ya mama yake mzazi Eliyamulika Emmanuel Sarakikiya (79) kwenye kikombe. Read more about Ashikiliwa kwa kumuua mama yake na kunywa damu