Ripoti ya ajali iliyomuua Kobe Bryant imetoka

Picha ya eneo la ajali pamoja na Kobe Bryant na binti yake Gianna.

Ripoti ya post-mortem ya ajali ya Helikopta iliyoua watu 9 akiwemo nguli wa mchezo wa Kikapu Kobe Bryant na mwanaye wa kike Gianna, imetoka na imeeleza kuwa kukosekana kwa hewa, mwanga na mazingira magumu ilipoangukia ndio sababu ya wote kupoteza maisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS