Mvua na ukuta wa nyumba vyaua watu 11 Morogoro

Mvua

Watu 11 wameripotiwa kupoteza maisha katika matukio mawili tofauti ikiwemo watoto 7 kusombwa na maji wilayani Mvomero na huku watu wengine wanne wa familia moja kuangukiwa na ukuta wakiwa wamelala.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS