Kauli ya Polepole kwa waliojinadi mitandaoni

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole.

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Humphrey Polepole, amewaonya wale wote waliokuwa wametengeneza vipeperushi na mabango na kuyaweka mitandaoni ya kwamba wanatangaza nia ya kugombea Ubunge katika jimbo fulani, waache mara moja kwa kuwa wameanza kampeni kabla ya wakati.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS