TFF yajibu kuhusu matumizi ya Bil 1 za Magufuli

Makao Makuu ya TFF

Shirikisho la soka nchini (TFF) limesema Shilingi Bil 1 zilizotolewa na Rais Magufuli kwaajili ya maandalizi ya Fainali za AFCON U17 mwaka jana, hazikuingia kwenye akaunti ya TFF na wala wao hawajui zilitumikaje.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS