TFF yajibu kuhusu matumizi ya Bil 1 za Magufuli
Shirikisho la soka nchini (TFF) limesema Shilingi Bil 1 zilizotolewa na Rais Magufuli kwaajili ya maandalizi ya Fainali za AFCON U17 mwaka jana, hazikuingia kwenye akaunti ya TFF na wala wao hawajui zilitumikaje.