Kaduguda awapa somo Yanga.

Wachezaji wa Simba, wakijipongeza baada ya kufunga bao.

Kipigo cha jana kwa Yanga kumeiondoa rasmi katika nafasi ya kuiwakilisha nchi kwenye michuano ya kimataifa ambayo sasa itashuhudia Namungo ambayo itafanya hivyo kutokana na Simba kuwa na tiketi ya uwakilishi katika ligi ya mabingwa Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS