Kaduguda awapa somo Yanga.
Kipigo cha jana kwa Yanga kumeiondoa rasmi katika nafasi ya kuiwakilisha nchi kwenye michuano ya kimataifa ambayo sasa itashuhudia Namungo ambayo itafanya hivyo kutokana na Simba kuwa na tiketi ya uwakilishi katika ligi ya mabingwa Afrika.

