Surprise ya Rais wa BongoFleva, akabidhiwa gari

Rais wa BongoFleva na mtangazaji wa kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio akikabidhiwa gari mpya aina ya Mercedes Benz

Leo ni siku mpya ya historia kwa wapenzi wa burudani, baada ya mtangazaji wa kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio na Rais wa BongoFleva kwa sasa Dullah Planet, kuahidi ushindi kwenye burudani ya muziki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS