Dokii aeleza sakata la Harmonize kumsaidia Mavoko

Msanii Rich Mavoko upande wa kulia, kushoto ni dada yake Dokii

Baada ya maswali kuwa mengi kuhusiana na ukimya wa muda mrefu wa msanii Rich Mavoko, EATV & EA Radio Digital imepiga stori na Dada wa msanii huyo Dokii na amenyoosha maelezo kuhusu ukimya wa Mavoko na kusaidiwa na Harmonize.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS