Lipumba atangaza hatma ya mgombea Urais CUF

Profess Ibrahim Lipumba

Mwenyekiti wa CUF Taifa, Prof Ibrahim Lipumba amesema kama kuna mwananchama yoyote wa CUF anaedhani ana sifa ya kugombea Urais wa Jahmri ya Muungano wa Tanzania ajitokeze kuchukua fomu bila woge wowote.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS