Lipumba atangaza hatma ya mgombea Urais CUF Profess Ibrahim Lipumba Mwenyekiti wa CUF Taifa, Prof Ibrahim Lipumba amesema kama kuna mwananchama yoyote wa CUF anaedhani ana sifa ya kugombea Urais wa Jahmri ya Muungano wa Tanzania ajitokeze kuchukua fomu bila woge wowote. Read more about Lipumba atangaza hatma ya mgombea Urais CUF