
Mashindano ya kombe la mataifa ya Afrika kwa mwaka wa 2027 yanatarajiwa kufanyika kwa mara ya kwanza ukanda wa Afrika ya Mashariki kwa ushirikiano nchi tatu Tanzania, Kenya na Uganda ambazo ndizo zitakuwa nchi wenyejiwa mashindano hayo.

Nyota huyo wa zamani wa K.R.C. Genk ya Ubelgiji, TP Mazembe ya Congo DR na Aston Villa ya England kumbukumbu nzuri ya maisha yake ni kufunga goli dhidi ya Manchester City mahasimu wa United kwenye mchezo wa fainali ya kombe la Carabao mwaka 2020.

Takwimu za mechi mbili walizokutana zinaonyesha timu ya Wananchi imeshinda michezo yote miwili dhidi ya Wapinzani wao siku ya leo (3-0, 1-0) Tabora United kutokea Tabora ambayo inashika nafasi ya 10 ikiwa imevuna alama 14 msimu huu.

Kikosi cha Wekundu wa Msimbazi kinashika nafasi ya tatu msimamo wa ligi kuu TPL kikiwa na alama 22 nyuma ya Singida Black Stars yenye alama 23 Yanga SC ikiwa kileleni mwa msimamo ikiwa na alama 24.

Real Madrid inashika nafasi ya pili msimamo wa ligi kuu nchini Hispania ikijikusanyia alama 24 nyuma ya Barcelona iliyoko kileleni na alama zake 33,ligi ya Mabingwa ipo nafasi ya 17 imekusanya alama 6 baada ya kucheza michezo minne.

Nyota huyo wa zamani wa Santos ya Brazil amekitumikia kikosi cha Al-Hilal michezo saba tu tangu ajiunge na timu hiyo kutokea PSG mwaka 2023.

Kikosi cha Yanga SC kina Wachezaji wengi wanaoweza kuziba pengo la Aziz Ki kipindi atakachokosekana uwanjani ili atafute utimamu wa mwili wake Clatous Chama na Pacôme Zouzoua ni mbadala sahihi kwenye eneo la namba 10 kikosi cha Wanachi.

Simba SC itacheza dhidi ya KMC Jumatano Novemba 6,2024 katika uwanja wa Kmc Mwenge, Dar es salaam. Kikosi cha Wekundu wa Msimbazi kinashika nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi kuu Tanzani bara kikiwa kimejikusanyia alama 22 katika michezo 9 huku KMC ikiwa nafasi ya 6 imekusanya alama 14 katika michezo 10.

Kocha huyo wa zamani wa Chelsea FC, Manchester United na Tottenham Hotspurs anasifika kwa uwezo wa kushinda ubingwa na timu zake zote alizowahi kuzifundisha anatumainiwa na Mashabiki wa Fenerbahçe SK kurudisha furaha yao kwa kushinda ubingwa wa Super Lig muda mrefu kwa klabu hiyo umepita bila kushinda ubingwa wa nchi hiyo.

Simba SC inashika nafasi ya tatu ikiwa imejikusanyia alama 22 itaweza kupanda mpaka nafasi ya pili msimamo wa ligi ikifanikiwa kupata matokeo ya ushindi dhidi ya KMC FC siku ya Jumatano Novemba 6.

Sababu za kuondoka kwake kwenye kikosi cha Gunners hazijawekwa wazi habari kutoka vyanzo mbalimbali Uingereza zinasema Edu inawezekana anavutiwa kujiunga na mradi wa Mmliliki wa timu Nottingham Forest F.C. Bwana Evangelos Marinakis wa kuijenga Forest kuwa timu tishio EPL.Hivyo kumshawishi Mbrazil huyo kujiuzulu nafasi yake ndani ya Arsenal.

Matokeo hayo ya ushindi yameipaisha timu hiyo inayotokea Merseyside mpaka nafasi ya kwanza msimamo wa EPL baada ya kucheza michezo 10 ikiwa imejikusanyia alama 25 alama mbili zaidi ya kikosi cha Manchester City kinachoshika nafasi ya pili kilichojikusanyia alama 23.

Kikosi cha Wanajangwani kimesalia na alama zake 24 bado kikiwa kinaongoza msimamao wa ligi kuu Tanzania bara, Singida Black Stars inashika nafasi ya ya pili ikiwa na alama 23 na Simba SC yenye alama 22 ipo nafasi ya 3 baada ya timu za Kariakoo kucheza michezo 9 kila moja Singida Black Stars imecheza michezo kumi ya ligi mpaka sasa.

Liverpool imefuzu kucheza hatua ya robo fainali ya kombe la Carabao imejikusanyia alama 9 kwenye ligi ya mabingwa baada ya kushinda michezo yake mitatu na inashika nafasi ya pili EPL nyuma ya Manchester City ikiwa imejikusanyia alama 22.