Waziri Mkuu, Majaliwa, na viongozi wenGine wakikagua mabasi yaendayo haraka.

16 Apr . 2016

Msemaji wa Sumatra Bw. David Mziray

29 Mar . 2016

Mke wa Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe akiwafariji wagojwa waliolazwa katika wodi ya wazazi katika hospitali ya Rufaa ya Meta

9 Sep . 2015

Mabasi ya Abiria yakiwa yamepaki katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani cha Ubungo Terminal

22 Jul . 2015

Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa Ramadhani A. Mungi akizungumza na waandishi wa habari kwenye makao Makuu ya Jeshi la Polisi Iringa.

21 Mei . 2015

Waziri mkuu Mizengo Pinda akizungumza na Waandishi wa Hbari hawapo Pichani.

4 Mei . 2015

Mkurugenzi Udhibiti wa Usafiri Barabarani kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) Gilliard Ngewe.

29 Apr . 2015

Abiria wakiwa katika pilika pilika zikiendelea katika stendi ya mabasi ya kwenda mikoani ya Ubungo.

28 Apr . 2015

Abiria wakiwa wamesongamana kituo kikuu cha mabasi cha Dar es Salaam baada ya nauli kupanda ghafla kipindi cha nyuma.

15 Apr . 2015

Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Mbeya, Butusyo Mwambelo.

12 Dec . 2014

Mkurugenzi Mkuu wa SUMATRA, Israel Sekirasa.

11 Dec . 2014

Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini Tanzania,Kamanda Mohamed Mpinga

5 Nov . 2014

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Kanali Mstaafu Issa Machibya.

14 Oct . 2014