Mwandishi: "Je, Messi alikuwa na bahati ya kutocheza dhidi yako kwa sababu alikuwa majeruhi?"
Paolo Maldini alijibu:
"Hapana, hapana. Mimi ndiye niliyepata bahati sikucheza dhidi ya Messi kwa sababu alikuwa majeruhi, namshukuru Mungu alikuwa majeruhi."
Hiyo siyo taarifa, taarifa ni kwamba
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Argentina, Lionel Scaloni, amethibitisha rasmi kuwa nahodha wake na bingwa mtetezi wa Kombe la Dunia, Lionel Messi, yuko fiti kwa 100% na ataanza kwenye mchezo wa kwanza wa ufunguzi wa Kundi J wa mashindano ya FIFA World Cup 2026 dhidi ya Algeria.







