Baadhi ya mabasi yanayofanya safari zake kutoka kituo kikuu cha mabasi Ubungo na ambayo Sumatra imekuwa ikisisitiza kuwa yapulizwe dawa kuua mbu wanaosambaza homa hatari ya Dengue.

22 Mei . 2014

Afisa Mfawidhi wa sumatra kanda ya mashariki, Conrad Shio, akisisitiza jambo mbele ya waandishi wa habari. Kulia kwake ni mkuu wa kikosi cha usalama barabarani, Kamanda Mohammed Mpinga.

1 Mei . 2014
  •